Recomienda este artículo a tus amigos:
Uandishi Katika Kiswahili Elizabeth Godwin Mahenge Swahili edition
Uandishi Katika Kiswahili
Elizabeth Godwin Mahenge
Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.
| Medios de comunicación | Libros Paperback Book (Libro con tapa blanda y lomo encolado) |
| Publicado | 4 de julio de 2014 |
| ISBN13 | 9791092789133 |
| Editores | DL2A - BULUU PUBLISHING |
| Páginas | 80 |
| Dimensiones | 5 × 152 × 229 mm · 131 g |
| Lengua | Swahili |
Mas por Elizabeth Godwin Mahenge
Mostrar todoMere med samme udgiver
Ver todo de Elizabeth Godwin Mahenge ( Ej. Paperback Book )