Uandishi Katika Kiswahili - Elizabeth Godwin Mahenge - Libros - DL2A - BULUU PUBLISHING - 9791092789133 - 4 de julio de 2014
En caso de que portada y título no coincidan, el título será el correcto

Uandishi Katika Kiswahili Swahili edition

Precio
$ 13,99
sin IVA

Pedido desde almacén remoto

Entrega prevista 17 de jun. - 6 de jul.
Añadir a tu lista de deseos de iMusic

Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.

Medios de comunicación Libros     Paperback Book   (Libro con tapa blanda y lomo encolado)
Publicado 4 de julio de 2014
ISBN13 9791092789133
Editores DL2A - BULUU PUBLISHING
Páginas 80
Dimensiones 5 × 152 × 229 mm   ·   131 g
Lengua Swahili  

Mas por Elizabeth Godwin Mahenge

Mostrar todo

Mere med samme udgiver