Recomienda este artículo a tus amigos:
Wanyama Wenye Uti Wa Mgongo Batholomew a Meena Swahili edition
Wanyama Wenye Uti Wa Mgongo
Batholomew a Meena
Wanyama Wenye Uti wa Mgongo ni kitabu kilichojaa maarifa na Ujuzi kuhusu makundi ya wanyama wajulikanao kama mamalia, reptilia, amfibia, samaki na ndege.
Wanajulikana kwa:
? Kuwa na vichwa
? Kuwa na milango ya fahamu na Ubongo
? Kuwa na uti wa Mgongo
? Kuwa na mfumo wa Mifupa
? Kuwa na Mzunguko wa damu
? Kuwa na jinsi
| Medios de comunicación | Libros Paperback Book (Libro con tapa blanda y lomo encolado) |
| Publicado | 27 de diciembre de 2014 |
| ISBN13 | 9789987735181 |
| Editores | E & D Vision Publishing Limited |
| Páginas | 46 |
| Dimensiones | 3 × 216 × 216 mm · 104 g |
| Lengua | Swahili |