Uchu Na Utamu Wa Kutawala Kwa Mabavu - MR Hashil Seif Hashil - Libros - Createspace Independent Publishing Platf - 9781979653190 - 10 de noviembre de 2017
En caso de que portada y título no coincidan, el título será el correcto

Uchu Na Utamu Wa Kutawala Kwa Mabavu

Precio
$ 13,99
sin IVA

Pedido desde almacén remoto

Entrega prevista 17 de jun. - 6 de jul.
Añadir a tu lista de deseos de iMusic

Uchu na Utamu wa Kutawala kwa Mabavu ni kitabu cha historia kinachoeleza namna viongozi wa Tanganyika na Zanzibar na Afrika kwa jumla walivyotawala kwa mkono wa chuma. Mwandishi anaanza kwa kufafanua chanzo cha udikteta katika bara la Afrika, kushamiri kwa mfumo wa utawala wa chama kimoja na kujitokeza kwa mtindo wa kupindua serikali pamoja na vita vya wenyewe kwa wenyewe. Moja katika athari kubwa za mifumo hii ya kimabavu ni kusababisha wananchi wengi kukimbia na kuhama nchi zao na kutokomea ughaibuni kunusuru roho zao. Chini ya utawala wa mabavu umma huishi katika mateso na khofu kubwa katika nchi walizozaliwa bila ya kuwa na matumaini yoyote yale. Ustaadh Hashil Seif Hashil, mwandishi wa kitabu hiki, anaeleza pia kuhusu historia ya ukoloni ya Afrika Mashariki, biashara ya utumwa, siasa ya ukaburu, ukoloni mambo ya leo, ubeberu na kuimurika historia ilivyojaa uongo mwingi ulioandaliwa na wanahistoria Wazungu na wa nchi za Ulaya/Magharibi. Anapendekeza pia njia za kuondoa ufisadi na kurakibisha mambo katika nchi za Afrika na kuleta amani ya kudumu na maendeleo ya kisasa. Kitabu hiki kinastahiki kusomwa na wote, wazee na vijana, wasomi na walalahoi. Hii ni historia halisi ya Afrika Mashariki kwa ufupi ambako Mapambano Bado Yanaendelea.

Medios de comunicación Libros     Paperback Book   (Libro con tapa blanda y lomo encolado)
Publicado 10 de noviembre de 2017
ISBN13 9781979653190
Editores Createspace Independent Publishing Platf
Páginas 104
Dimensiones 152 × 229 × 6 mm   ·   149 g
Lengua Swahili  

Mas por MR Hashil Seif Hashil

Mostrar todo