Somo la Kushona - Deana Sobel Lederman - Libros - CALEC - 9781636070230 - 24 de octubre de 2020
En caso de que portada y título no coincidan, el título será el correcto

Somo la Kushona

Precio
$ 17,99
sin IVA

Pedido desde almacén remoto

Entrega prevista 10 - 29 de jun.
Añadir a tu lista de deseos de iMusic

Taa na kelele za ajabu kutoka sebuleni zinamuamsha mhusika mkuu wa hadithi hii. Kuelewa kile kinachoendelea, anaenda chumbani ambapo mama yake alipo, na anamuona mama yake akishona barakoa za kinga. Mama yake anamwambia kwamba kutoka sasa wafanyakazi muhimu wote na wale wote wanaohitaji kusafiri kwenda kazini watahitaji kuvaa barakoa. Anapo tafakari maneno ya mama yake, anaamua ya kwamba yeye pia atavaa barakoa ya rangi nyingi ilioshonwa na mama yake, na anamwomba mama yake amfundishe jinsi ya kushona. Anataka kumshonea babu yake barakoa, na babu yake, akiwa amejazwa na furaha kwa sababu ya kitendo cha fadhili cha mjukuu wake, anamkumbatia alipotoka kazini hospitalini.

Medios de comunicación Libros     Paperback Book   (Libro con tapa blanda y lomo encolado)
Publicado 24 de octubre de 2020
ISBN13 9781636070230
Editores CALEC
Páginas 26
Dimensiones 216 × 216 × 2 mm   ·   81 g
Lengua Swahili  

Mas por Deana Sobel Lederman

Mostrar todo

Mere med samme udgiver