Recomienda este artículo a tus amigos:
"Mahubiri Yenye Maana!": Mwongozo Mfupi Kwa Ajili Ya Tafsiri Sahihi Katika Kujenga Mahubiri Yenye Maana Yatokanayo Na Mafundisho Ya Biblia. Jeff Mullins Swahili edition
"Mahubiri Yenye Maana!": Mwongozo Mfupi Kwa Ajili Ya Tafsiri Sahihi Katika Kujenga Mahubiri Yenye Maana Yatokanayo Na Mafundisho Ya Biblia.
Jeff Mullins
This book it intended to help Swahili speaking pastors and laymen to understand how to properly interpret the Bible and prepare sermons that are consistent with correct interpretation. Kitabu hiki kimeegemea katika kigezo kuwa haiwezekani kuhubiri na kufundisha Biblia kwa uaminifu pasipo ufasiri makini na sahihi. Ijapokuwa kina lengo katika kuhubiri, sehemu kubwa ya kitabu hiki itakuwa na faida kwa yeyote anayetaka kujifunza kwa ajili yake mwenyewe au anayehudumu katika kufundisha Biblia kwa kiwango chochote. Katika kusoma utagundua ni nini kinachochangia na kusababisha ujumbe mzuri na kugundua kitu kinachoitwa "Ujumbe Mzuri, Uandishi Mbaya. Njia mbaya za utafsiri zinagundulika na kukosolewa. Njia ya kutafsiri ambayo humheshimu Mungu na yenye kutoa tafsiri sahihi, mara zote itatetewa.
| Medios de comunicación | Libros Paperback Book (Libro con tapa blanda y lomo encolado) |
| Publicado | 10 de enero de 2014 |
| ISBN13 | 9781492713135 |
| Editores | CreateSpace Independent Publishing Platf |
| Páginas | 100 |
| Dimensiones | 152 × 229 × 5 mm · 145 g |
| Lengua | Swahili |
| Colaborador | Joseph Musuma Marwa |